Njia Kuu Mbili Za Upangaji Wa Bei Za Bidhaa Au Huduma!

1

Tutajifunza: 1. Njia kuu 2 za upangaji wa bei za huduma na bidhaa. 2. Athari na Manufaa ya njia hizi. 3. Jinsi za kutumia njia hizi za upangaji wa bei.

2

Kabla hatujaanza, chukua muda kujiuliza maswali haya: - Wewe unaamuaje bei ya bidhaa yako? - Kwanini unatumia njia hiyo kufanya maamuzi ya bei?

3

Haya maswali yanatakiwa kukusaidia kurudi mwanzo na kuwa na tamaa ya kuelewa kwanini mambo yapo hivi yalivyo.

4

Maranyingi ni rahisi sana kufanya vitu kimazoea. Hii inatokea hata kwenye upangaji wa bei za bidhaa na huduma tunazo uza.

5

Ubaya wa kutumia mazoea ni kwamba tunakuwa tunafanya vitu bila kujua fursa iliyopo ya kukua zaidi.

6

Tukichukua muda na kutafakari zaidi kwanini tunafanya mambo kwa njia tunazotumia, tunaweza kuona kwa ndani zaidi kwanini mambo yapo yalivyo.

7