1
Tutajifunza kuhusu umuhimu wa taarifa za kifedha na vipengele vikuu kwenye taarfa za fedha.
2
Tunapowasilisha maendeleo ya biashara zetu , tunawakilisha maendeleo haya kwa namba. Namba hizi zinatuarifu ikiwa biashara zetu zinakua au zinapungua, hivyo hutusaidia kutenda ipasavyo.
3
Namba hizi zinajumuisha kile tunachokiita takwimu/taarifa za kifedha za biashara zetu. Mchakato wa kuandaa na kuwasilisha taarifa hizi kwa utaratibu uliopangwa inaitwa Uhasibu.
4
6
3
18
4
Comments