Ishara 4 Hauko Tayari Kuanzisha Biashara Yako!

1

Siku hizi, kuwa mjasiriamali imekuwa kama sifa fulani kwenye jamii zetu. Hii imesababisha watu wengi kukimbilia kutaka kuanzisha biashara...

2

Kitu cha kukumbuka kabla ya kwenda kuanzisha biashara yako ni kwamba sio lazima kila mtu awe mfanya biashara.

3

Kuna watu wengi tu ulimwenguni ambao wamefanikiwa maishani kwa kuwa kwenye ajira. Hii imani potofu inayoendelea kwenye jamii yetu kuhusu kujiajiri imepelekea watu wengi kujikuta kwenye sehemu hatarishi.

4

Kuna hatari kama sababu zako za kuanzisha biashara sio sahihi, tuangalie vitu vya kuashiria kwamba sio muda sahihi wa kuanza biashara...

5

1. Unafuata Ushabiki au Mkumbo.

6