Sehemu Kuu 3 Za Kila Biashara!

1

Kila bishara inagawanyika kweye maeneo mbalimbali. Mgawanyiko huu unabadilika kutokana na aina ya biashara, lakini kuna maeneo haya ma3 ambayo kila biashara inakuwa nayo.

2

1. Mauzo na Masoko (Marketing & Sales) Hii ni sehemu ya biashara inayojishughulisha na harakati zote zinazohusika kwenye kuelewa soko la bidhaa au huduma inayotolewa, na kufikisha kwa mteja.

3

2. Utawala (Administration) Hii ni sehemu ya biashara ambayo inahusika na usimamizi wa shughuli mbalimbali zinazoendelea kwenye biashara. Hii inahusisha Rasilimali Watu (Human Resources), Fedha, Sheria (Legal Compliance) nk.

4

3. Operations Hapa ndipo shughuli za biashara husika zinafanyika. Sehemu hii inahusisha uzalishaji, usambazaji, utafiti wa kuboresha huduma au bidhaa nk.

5

20

8

8

1

Comments

Margreth Temu

Insightful. Thank you