Mambo ya kuandaa kupata jalada bora la kitabu

1

Nilianza kudizaini makava ya kitabu mwaka 2018 nilipoanza kufanya kazi na DL Bookstore. Kadiri siku zinaenda nayaona mabadiliko kwenye tasnia ya uandishi wa vitabu Tanzania, kwani nashuhudia jinsi

2

waandishi wanavyopata “titles” kali za vitabu vyao na wanajaribu vile wanaweza kuandika vitabu bora pia. Nimekuja kugundua baadaye kwamba baadhi ya waandishi wanaochipukia na hata

3