Majukumu Top 3 Ya Mjasiriamali Kwenye Biashara! 🧤3️⃣

1

Tutajifunza Kuhusu:📓 1. Majukumu ya Mjasiriamali. 2. Changamoto kwenye kutimiza majukumu yako. 3. Jinsi ya kutimiza majukumu hayo.

2

Kama mjasirimali, kuna majukumu mengi ambayo inabidi kuyatimiza siku hadi siku.

3

Mara nyingine unaweza jikuta unamajukumu mengi mpaka unashindwa kuweka vipaumbele amabyo vinatakiwa kuweza kukusaidia kufanya maamuzi juu ya jinsi ya kutumia muda wako.

4

Mjasiriamali ukishindwa kupangilia vizuri muda wako na majukumu yako, basi athari zake zitaonekana kwenye biashara yako.

5

Kuna dodoso lilifanyika kwa wakurugenzi wa kampuni mbalimbali zinazo fanikiwa.

6